Beki wa Timu ya Chipukizi akiokoa mpira huku mshambuliaji wa Timu ya JKU akijaribu kumzuiya wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya PBZ Zanzibar 2025/2026, mchezo uliyofanyika Uwanja wa Mao Zedong.Timu ya JKU imeshinda mchezo huo kwa bao 2-0.
KUANZIA SASA WATAKAONG'ATWA NA NYOKA MUHEZA KUTIBIWA BURE
-
📍Ni baada ya MwanaFA kutoa fedha za kugharamia matibabu hayo
MUHEZA:
MBUNGE wa Muheza na Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo,
Mhe. Hami...
1 hour ago




0 Comments