Mchezaji wa Timu ya Kwerekwe Yankees akiwa na mpira akimpita mchezaji wa Timu ya Miembeni wakati wa mchezo wao wa Ligi Kanda ya Unguja mchezo uliyofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar.Timu ya Miembeni imeshinda mchezo huo kwa Vikapu 92-47.
WAKULIMA WA KIPANDE-NKOAVELE KUONGEZEWA MITA 1000 YA MIFEREJI YA UMWAGILIAJI
-
WAKULIMA zaidi ya 650 katika kijiji cha Kipande-Nkoavele, Halmashauri ya
Meru katika Mkoa wa Arusha kunufaika na mita 1000 za mifereji ya
umwagiliaji kwa...
2 hours ago













0 Comments