Kipa wa Timu ya Junguni akiokoa moja ya hatari golini kwake, huku mchezaji wa Timu ya KMKM akijaribu kufunga wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya PBZ Zanzibar 2025/2026, mchezo uliyofanyika katika uwanja wa Mao Zedong. Timu ya KMKM imeshinda mchezo huo kwa bao 6-1.
KUANZIA SASA WATAKAONG'ATWA NA NYOKA MUHEZA KUTIBIWA BURE
-
📍Ni baada ya MwanaFA kutoa fedha za kugharamia matibabu hayo
MUHEZA:
MBUNGE wa Muheza na Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo,
Mhe. Hami...
4 hours ago





0 Comments