Meneja wa Shirika la Bima la Taifa (NIC Insurance) Kanda ya Zanzibar Ndg.Khamis Msami akimkabidhi zwadi ya Mchezaji Bora kutika Timu ya Simba Fabrice Ngoma kwa kuibuka mshindi wa mchezo huo wa Kombe la Mapinduzi Cup 2023/2024 dhidi ya Timu ya Singida FG. mchezo uliyofanyika katika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibarn 3-1-2023.Timu ya Simba imeshinda mchezo huo kwa bao 2-0.
TRAMEPRO YAONYA UTAPELI MITANDAONI,YATOA RAI KWA SERIKALI NA WANANCHI
-
Na Mwandishi Wetu
Shirika la Dawa Asilia na Ulinzi wa Mazingira (TRAMEPRO) limesema
linasikitishwa kuhusu kuongezeka kwa vitendo vya utapeli wa mitandaon...
2 hours ago



0 Comments