6/recent/ticker-posts

Ziara yaNaibu Katibu Mkuu UVCCM Zanzibar Kisiwani Pemba.

 
NAIBU katibu Mkuu UVCCM Zanzibar Mhez:Abdullghafar Idrisa Juma, akimkabidhi bati muwasisi wa CCM Michakweni Kiwani, Amina Juma Heri ili kumaliza ujenzi wa nyumba yake, wakati alipotembelea nyumba ya mwana CCM huyo
NAIBU katibu Mkuu UVCCM Zanzibar Mhez:Abdullghafar Idrisa Juma, akimkabidhi bati muwasisi wa CCM Michakweni Kiwani, Amina Juma Heri ili kumaliza ujenzi wa nyumba yake, wakati alipotembelea nyumba ya mwana CCM huyo
NAIBU katibu Mkuu UVCCM Zanzibar Mhe:Mhe:Abdullghafar Idrisa Juma, akishiriki Ujenzi katika Tawi la CCM Mkungu Kengeja, kwa kuweka Tufali na Udongo katika ziara yake ya siku nne Kisiwani Pemba


NAIBU katibu Mkuu UVCCM Zanzibar Mhe:Abdullghafar Idrisa Juma, akizungumza na vijana wa CCM katika tawi la CCM lililopewa jina la Balozi Seif Ali Iddi, wakati alipowatembelea vijana hao katika ziara yake ya siku nne Kisiwani Pemba.
(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

Post a Comment

0 Comments