Ndg.Paul Ibrahim Mwilombwa ni Kijana
anayeishi Mkoa wa Geita Wilaya ya Chato, ni mlemavu wa viungo na mwenye
kujishughulisha na maswala ya upigaji picha na mambo ya 'Graphic Design'. hapa anaelezea historia yake na kuwaomba
msaada watanzania ili apate kufanya kazi zake kwa ufanisi zaidi.
POLISI KATA WATAKIWA KUSHIRIKIANA NA VIKUNDI VYA ULINZI KATIKA MAENEO YAO.
-
Polisi kata na watendaji wa kata zilizopo Wilayani Mpanda Mkoani Katavi
wametakiwa kuratibu na kufanya doria za kutosha kwa kushirikiana na vikundi
vya u...
1 hour ago
0 Comments