ASKARI wa Usalama wa Barabarani kutoka kituo cha
Polisi Madungu Chake Chake, akikagua moja ya Vielelezo vya mwendesha Vespa
vinavyomruhusu kuendesha chombo barabarani, wakati wa ukaguzi uliofanywa na
jeshi hilo hivi karibuni Kisiwani Pemba.(Picha
na Abdi Suleiman, PEMBA.)
POLISI KATA WATAKIWA KUSHIRIKIANA NA VIKUNDI VYA ULINZI KATIKA MAENEO YAO.
-
Polisi kata na watendaji wa kata zilizopo Wilayani Mpanda Mkoani Katavi
wametakiwa kuratibu na kufanya doria za kutosha kwa kushirikiana na vikundi
vya u...
1 hour ago
0 Comments