MJUMBE wa Kamati ya Baraza la Wawakilishi ya
Kusimamia Ofisi za Viongozi Wakuu wa Kitaifa, ambaye ni Mwakilishi wa Jimbo la
Tunguu Mhe:Simai Mohamed Simai(Mpaka basi), akimwangalia Mjumbe mwenzake
mwakilishi wa Viti Maalum kutoka Kaskazini Unguja Mhe:Mtumwa Suleiman Makame,
wakati alipokuwa akipakasa ukili baada ya kutembelea kikundi cha Jiendeleze
maisha bora Wingwi.(Picha na Abdi
Suleiman, PEMBA.)
Rais Samia ashiriki Mkutano Maalum wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa
Afrika (AU) kuhusu Afya, Accra nchini Ghana
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan, akiwasili katika ukumbi wa mikutano, jijini Accra, Ghana kwa ajili
ya kushi...
2 hours ago
0 Comments