Picha Juu na China. Mafundi wa kampuni iliojenga kituo cha Mabasi cha Muheza Mkoani Tanga wakimalizia wake wakiweka zege katika mifereji ya kituo hicho ya kupitishia maji machafu wakati wa mvua.
DKT. ABBASI AKAGUA MIRADI YA UTALII PORI LA AKIBA LA PANDE, ATOA MAAGIZO YA
KUKAMILIKA KABLA YA AFCON 2027
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi, leo Julai
23, 2026, ametembelea Pori la Akiba la Pande jijini Dar es Salaam na
kukagua ...
10 hours ago
1 Comments
Kwa wenzetu mambo yanakwenda ila sisi nadhani tumelaaniwa ndio kwanza tunataka kujenga viwanja vya watoto wakati mambo ya msingi yanatushinda.
ReplyDeleteIngependeza sana na sisi kuwa na stendi nzuri pale kariakoo, yenye nafasi, vyoo na maduka.
Hii ingesaidia sana kupunguza msongamano pale darajani na kusaidia kupanuka kwa mji kwani wafanyabiashara wanapenda kufungua maduka karibu na stendi.
Aidha wenye nyumba ktk maeneo ya Miembeni na Rahaleo wangefaidika na mraho huo kwani wangeuza au kupangisha nyumba zao.