Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiangalia aina mbalimbali ya mapishi wakati alipotembelea Banda la maonesho la Umoja wa Mama na Baba Lishe Tanzania (UMALITA), katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC), Jijini Dar es Salaam, tarehe 21 Aprili, 2026.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa amevaa sare za Umoja wa Mama na Baba Lishe Tanzania (UMALITA) mara baada ya kukabidhi mitungi ya gesi na majiko yanayotumia nishati safi katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC), Jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Mwakilishi wa Mama na Baba Lishe kutoka Zanzibar Bw. Hamis Ally, mitungi ya gesi pamoja na jiko linalotumia nishati safi ya kupikia kwenye Kongamano la Kitaifa la Mama na Baba Lishe, katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC), Jijini Dar es Salaam

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Mwakilishi wa Mama na Baba Lishe kutoka Singida Bi. Tatu Hamis, mitungi ya gesi pamoja na jiko linalotumia nishati safi ya kupikia kwenye Kongamano la Kitaifa la Mama na Baba Lishe, katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC), Jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikagua mabanda ya maonesho ya mapishi ya Mama na Baba Lishe mara baada ya kuwasili katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC), Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiangalia aina mbalimbali ya mapishi wakati alipotembelea Banda la maonesho la Umoja wa Mama na Baba Lishe Tanzania (UMALITA), katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC), Jijini Dar es Salaam.






0 Comments