Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambaye pia ni Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Ali Mwinyi kwenye Kongamano la Muungano lililofanyika katika Chuo cha Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tunguu, Zanzibar tarehe 26 Aprili, 2026.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisikiliza maelezo kuhusu Kiwanda cha Uchapishaji cha Chuo cha Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kilichopo Tunguu, Zanzibar tarehe 26 Aprili, 2026.

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza kwenye Kongamano la Muungano lililofanyika katika Chuo cha Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tunguu, Zanzibar tarehe 26 Aprili, 2026.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza kwenye Kongamano la Muungano lililofanyika katika Chuo cha Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tunguu, Zanzibar tarehe 26 Aprili, 2026.







0 Comments