Mchezaji wa Timu ya Muembemakumbi na JKU wakiwania mpira wakati wa mchezo wa wa Kombe la FA, mchezo uliyofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong Wilaya ya Mjni Jijini Zanzibar.Timu ya JKU imeshinda mchezo huo kwa bao 2-1.
MiXX Yakabidhi Zawadi kwa Washindi wa Kampeni ya Kombe la Dunia
-
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya MiXX imeendelea kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni ya
"Kombe la Dunia ya Ikiingia Tu... Golii!", inayowapa nafasi ya kujis...
9 hours ago














0 Comments