6/recent/ticker-posts

Mchezo wa Kombe la FA Kati ya Muembemakumbi City na JKU Mchezo Uliyofanyika Uwanja wa Mao Zedong

Mchezaji wa Timu ya Muembemakumbi na JKU wakiwania mpira wakati wa mchezo wa wa Kombe la FA, mchezo uliyofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong Wilaya ya Mjni Jijini Zanzibar.Timu ya JKU imeshinda mchezo huo kwa bao 2-1.







 






Post a Comment

0 Comments