6/recent/ticker-posts

WAZIRI WA HABARI SANAA UTAMADUNI NA MICHEZO AFUNGUA MAFUNZO YA WAANDISHI WA HABARI ZANZIBAR.

Waziri wa Habari Sanaa Utamaduni n a Michezi Dk,Riziki Pembe Juma  akitoa Hotuba ya Ufunguzi wa Mafunzo ya Waandishi wa Habari kutumia Lugha sahihi ya Kiswahili katika Uandishi na Utangazaji hafla iliofanyika katika Ukumbi wa Skuli ya Tumekuja Mwembeladu Zanzibar.
Waziri wa Habari Sanaa Utamaduni n a Michezi Dk,Riziki Pembe Juma akifafanua jambo wakati akitoa Hotuba ya Ufunguzi wa Mafunzo ya Waandishi wa Habari kutumia Lugha sahihi ya Kiswahili katika Uandishi na Utangazaji hafla iliofanyika katika Ukumbi wa Skuli ya Tumekuja Mwembeladu Zanzibar.

Katibu Mtendaji Baraza la Kiswahili Zanzibar Dk,Mwanahija Ali Juma akitoa hotuba ya makaribisho kwa Mgeni rasmi katika hafla ya Mafunzo kwa Waandishi wa Habari kutumia Lugha sahihi ya Kiswahili katika Uandishi na Utangazaji hafla iliofanyika katika Ukumbi wa Skuli ya Tumekuja Mwembeladu Zanzibar.
Baadhi ya Waandishi wa Habari waliohudhuria katika Mafunzo  ya Matumizi sahihi ya Lugha ya Kiswahili katika Uandishi na Utangazaji yaliofanyika katika Ukumbi wa Skuli ya Tumekuja Mwembeladu Zanzibar.

                               PICHA NA YUSSUF SIMAI,MAELEZO ZANZIBAR.11/03/2026.





 

Post a Comment

0 Comments