Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara Maalumu za SMZ Mhe.Idrisa Kitwana Mustafa akiwasili katika eneo la Kituo cha Mabasi Malindi kwa ajili ya kuweka Jiwe la Msingi la Mradi wa ZSSF Zanzibar wa kituo hicho cha kisasa na (kushoto kwake) Mkurugenzi Muendesjaji ZSSF Nassor Shaban Ameir na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Mohammed Abdallah.
POLISI NA MADEREVA WA BAJAJI WASHIRIKI KUTOA FARAJA KWA WENYE MAHITAJI
WILAYANI ILEJE.
-
Kikosi cha usalama barabarani Wilaya ya Ileje kimeungana na wasafirishaji
wa abiria kwa kutumia bajaji kuwafariji na kuwasaidia wagonjwa waliolazwa
katik...
7 hours ago





















0 Comments