Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara Maalumu za SMZ Mhe.Idrissa Kitwana Mustafa akimkabidhi mfano wa hundi ya shilingi milioni moja ya Mchezaji Bora wa NMB Mapinduzi Cup 2026 Duke Abuya , iliyotolewa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, katika mchezo wa Kombe la NMB Mapinduzi Cup 2026, dhidi ya Timu ya Yanga na TRA ,mchezo uliyofanyika katika uwaja wa New Amaan Complex Zanzibar.
UWT YAMUHIMIZA MKANDARASI KUKAMILISHA MRADI WA MARIA NYERERE SHOPPING MALL
-
NA MWANDISHI WETU, DAR
Mkandarasi anayetekeleza mradi wa Maduka ya Biashara ya Maria Nyerere
(Maria Nyerere Shopping Mall) ulio chini Jumuiya ya Umoja w...
53 minutes ago



0 Comments