Mchezaji wa Timu ya Dream akiwa mpira akijiandaa kumpita mchezaji wa Timu ya Miembeni, wakati wa mchezo wao wa Ligi ya Kikapu Kanda ya Unguja, mchezo uliyofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong.Timu ya Miembeni imeshinda mchezo huo kwa Vikapu 53-51.
Tanzania mgeni rasmi Maonesho ya Ufugaji Nyuki Afrika nchini Algeria
-
Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Mhe Mobhare Matinyi, akizungumza na
vyombo vya habari vya Algeria wakati akitangaza kuwa Serikali ya Jamhuri ya
Muungan...
5 hours ago







0 Comments