Mchezaji wa Timu ya Polisi na Mafunzo wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya PBZ Zanzibar 2025/2026, mchezo uliyofanyika Uwanja wa Mao Zedong.Katika mchezo huo timu hizo zimetoka sare ya bao 1-1.
POLISI KATA WATAKIWA KUSHIRIKIANA NA VIKUNDI VYA ULINZI KATIKA MAENEO YAO.
-
Polisi kata na watendaji wa kata zilizopo Wilayani Mpanda Mkoani Katavi
wametakiwa kuratibu na kufanya doria za kutosha kwa kushirikiana na vikundi
vya u...
52 minutes ago



0 Comments