Mchezaji wa Timu ya Mpendae akijaribu kiwapita wachezaji wac Timu ya Good Morning wakati wa mchezo wao wa Ligi Mpira wa Kikapu Kanda ya Unguja mchezo uliyofanyika Uwanja wa Mao Zedong.Timu ya Mpendae imeshinda mchezo huo kwa Vikapu 55-20.
AFRIKA KUUNGANA KUCHOCHEA MAENDELEO YA VIWANDA.
-
Na. Saidina Msangi, WF, Abidjan, Côte d’Ivoire.
Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Mshamu Ali Munde (Mb), kwa niaba ya Waziri wa
Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa O...
3 hours ago









0 Comments