Mshambuliaji wa Timu ya Polisi akiwapita mabeki wa Timu ya Junguni katika mchezo wao wa Ligi Kuu ya PBZ 2025/2026 mchezo uliyofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong.Katima mchezo huo timu hizo zimetoka sare ya bila kufungana.
Tanzania mgeni rasmi Maonesho ya Ufugaji Nyuki Afrika nchini Algeria
-
Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Mhe Mobhare Matinyi, akizungumza na
vyombo vya habari vya Algeria wakati akitangaza kuwa Serikali ya Jamhuri ya
Muungan...
6 hours ago






0 Comments