Kocha wa Timu New King akitowa maelekezo kwa wachazaji wake katika pindi cha kwanza cha mchezo huo wa Ligi Kuu ya PBZ 2025/2026 Zanzibar, wakati wa mchezo wao na Timu ya Zimamoto mchezo uliyofanyika katika uwanja wa Mao Zedong Timu ya Zimamoto imeshinda mchezo huo kwa bao 2-0.
POLISI NA MADEREVA WA BAJAJI WASHIRIKI KUTOA FARAJA KWA WENYE MAHITAJI
WILAYANI ILEJE.
-
Kikosi cha usalama barabarani Wilaya ya Ileje kimeungana na wasafirishaji
wa abiria kwa kutumia bajaji kuwafariji na kuwasaidia wagonjwa waliolazwa
katik...
53 minutes ago
















0 Comments