Mchezaji wa Timu ya Polisi akimpita beki wa Timu ya Chipukizi wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya PBZ 2026/2026 Zanzibar, mchezo uliyofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong Timu ya Polisi imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0.
KATIBU MKUU CCM AZUNGUMZA NA WABUNGE WA EALA TANZANIA.
-
DODOMA | 24 Julai 2026
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro,
amekutana na Wabunge wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki...
6 hours ago











0 Comments