Mchezaji wa Timu ya Kikapu ya Mpendae akiwa na mpira akijiandaa kumpita mchezaji wa Timu ya Millenium wakati wa mchezo wao wa Ligi ya Kanda ya Unguja mchezo uliyofanyika Uwanja wa Mao Zedong.Timu ya Mpendae iumeshinda mchezo huo kwa Vikapu 60-48.
DKT. ABBASI AKAGUA MIRADI YA UTALII PORI LA AKIBA LA PANDE, ATOA MAAGIZO YA
KUKAMILIKA KABLA YA AFCON 2027
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi, leo Julai
23, 2026, ametembelea Pori la Akiba la Pande jijini Dar es Salaam na
kukagua ...
7 hours ago










0 Comments