Mchezaji wa Timu ya Usolo Munir akimpita mchezaji wa Timu ya JKU Omar wakati wa mchezo wao wa Ligi ya Kikapu Kanda ya Unguja mchezo uliyofanyika uwanja wa Mao Zedong.katika mchezo huo Timu ya JKU imeshinda mchezo huo kwa Vikapu 69-40.
NBAA YAENDELEA KUTOA ELIMU YA TAALUMA YA UHASIBU KWA WANAFUNZI WA CHUO
KIKUU CHA MZUMBE
-
Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) imeendelea
kutoa elimu na mafunzo kwa vyuo vikuu pamoja na shule za sekondari ikiwa na ...
7 hours ago














0 Comments