Golikipa wa Timu ya Kipanga akiokoa moja ya hatari golini kwake wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya PBZ Zanzibar 2025/2026, dhidi ya Timu ya Malindi mchezo uliyofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong. katika mchezo huo timu ya Kipanga imeshinda mchezo huo kwa bao 2-1
DKT. ABBASI AKAGUA MIRADI YA UTALII PORI LA AKIBA LA PANDE, ATOA MAAGIZO YA
KUKAMILIKA KABLA YA AFCON 2027
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi, leo Julai
23, 2026, ametembelea Pori la Akiba la Pande jijini Dar es Salaam na
kukagua ...
5 hours ago










0 Comments