Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, akipata maelezo kutoka kwa Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Dodoma Dkt. Ibenzi Ernest (kulia kwake) alipotembelea Hospitali ya Rufaa Mkoa Dodoma Novemba 25, 2025. Kushito kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule na kulia ni Mkuu wa Wilaya Dodoma Alhaji Jabir Shekimweri. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Tanzania mgeni rasmi Maonesho ya Ufugaji Nyuki Afrika nchini Algeria
-
Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Mhe Mobhare Matinyi, akizungumza na
vyombo vya habari vya Algeria wakati akitangaza kuwa Serikali ya Jamhuri ya
Muungan...
8 hours ago
0 Comments