Msanii wa Bongo Fleva Nandy akiburudisha kwa wimbo wake wa kumpongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi kwa uongozi wake imara kuiongoza Zanzibar kwa kipindi cha miaka mitano, akiwa Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakati wa mkutano wa kufunga Kampeni za CCM uliyofanyika katika Uwanja wa Mnazi Mmoja Jijini Zanzibar leo 26-10-2025.
PRESIDENT DR. MWINYI: ZANZIBAR AND INDIA TO STRENGTHEN COOPERATION IN
EDUCATION, TRADE AND TECHNOLOGY
-
The President of Zanzibar and Chairman of the Revolutionary Council, Hon.
Dr. Hussein Ali Mwinyi, has thanked the Government of India for its
continued e...
3 hours ago






0 Comments