Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Ndg.Hemed Suleiman Abdulla akichuchua fomu ya kugombea Uwakilishi Jimbo la Kiwani Pemba akikabidhiwa na Katibu wa CCM Wilaya ya Mkoani Pemba Ndg. Khamis Juma Omar.
KAMATI YA KITAIFA YA USIMAMIZI WA MAAFA YAIDHINISHA MPANGO WA DHARURA WA
TAIFA WA KUKABILIANA NA MADHARA YA EL NIÑO
-
Na.Mwandishi wetu - Dar es Salaam
Kamati ya Kitaifa ya Wataalamu ya Usimamizi wa Maafa imeidhinisha Mpango wa
Taifa wa Dharura wa Kukabiliana na Madhara ya...
6 hours ago
.jpg)
0 Comments