Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Magdalena Rwebangira (kulia) akiangalia namna Waandishi Wasaidizi na Waendesha Vifaa vya Bayometriki waliokuwa katika mafunzo wakifanya mazoezi ya uboreshaji kwa vitendo katika kituo cha Skuli ya Dunga, Wilaya ya Kati Mkoa Kusini, Zanzibar Oktoba 5, 2024. Zanzibar inaanza Uboreshaji wa Daftari Oktoba 07 hadi Oktoba 13, 2024 na vituo vitakuwa vinafunguliwa kuanzia saa 2:00 asubuhi na kufungwa saa 12:00 jioni. (Picha na INEC).
Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Mahakama Kuu Asina Omar (kushoto) akiangalia namna Waandishi Wasaidizi na Waendesha Vifaa vya Bayometriki waliokuwa katika mafunzo wakifanya mazoezi ya uboreshaji kwa vitendo katika kituo cha Walimu Bububu, Wilaya ya Magharibi A Mkoa wa wa Mjini Magharibi, Zanzibar Oktoba 5, 2024. Zanzibar inaanza Uboreshaji wa Daftari Oktoba 07 hadi Oktoba 13, 2024 na vituo vitakuwa vinafunguliwa kuanzia saa 2:00 asubuhi na kufungwa saa 12:00 jioni. (Picha na INEC).
Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Mahakama Kuu Asina Omar (kushoto) akiangalia namna Waandishi Wasaidizi na Waendesha Vifaa vya Bayometriki waliokuwa katika mafunzo wakifanya mazoezi ya uboreshaji kwa vitendo katika kituo cha Walimu Kiembesamaki, Wilaya ya Magharibi B Mkoa wa wa Mjini Magharibi, Zanzibar Oktoba 5, 2024. Zanzibar inaanza Uboreshaji wa Daftari Oktoba 07 hadi Oktoba 13, 2024 na vituo vitakuwa vinafunguliwa kuanzia saa 2:00 asubuhi na kufungwa saa 12:00 jioni. (Picha na INEC).
DKT. ABBASI AKAGUA MIRADI YA UTALII PORI LA AKIBA LA PANDE, ATOA MAAGIZO YA
KUKAMILIKA KABLA YA AFCON 2027
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi, leo Julai
23, 2026, ametembelea Pori la Akiba la Pande jijini Dar es Salaam na
kukagua ...
4 hours ago



0 Comments