Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko, amemtembelea na kumjulia hali kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Mkuu wa Mkoa mstaafu, Mzee Stephen Mashishanga nyumbani kwake, Mtaa wa Forest, Manispaa ya Morogoro Mkoa wa Morogoro Aprili 11, 2024. (Picha na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu)
Rais Samia ashiriki Mkutano Maalum wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa
Afrika (AU) kuhusu Afya, Accra nchini Ghana
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan, akiwasili katika ukumbi wa mikutano, jijini Accra, Ghana kwa ajili
ya kushi...
2 hours ago
0 Comments