Mshambuliaji wa Timu ya Yanga Dickson Ambundo akijaribu kumpita beki wa Timu ya KMKM, katika mchezo wa kuwania Kombe la Mapinduzi uliofanyika jana usiku katika Uwanja wa Amaan.Timu ya Yanga imeshinda kwa bao 1--0.
DKT. ABBASI AKAGUA MIRADI YA UTALII PORI LA AKIBA LA PANDE, ATOA MAAGIZO YA
KUKAMILIKA KABLA YA AFCON 2027
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi, leo Julai
23, 2026, ametembelea Pori la Akiba la Pande jijini Dar es Salaam na
kukagua ...
12 hours ago
0 Comments