Mkurugenzi wa Masoko na Mawasiliano Shirika la Bima la Taifa (NIC) Karimu Meshack akimkabidhi fedha taslim Mchezaji Bora wa Mchezo wa Kombe la Mapinduzi kutoka Timu ya Malindi Humuoud Suleiman ameibuka mchezaji bora wa mchezo huo uliofanyika leo katika Uwanja wa Amaan Kati ya Azam na Malindi katika mchezo huo timu hizo zimetoka sare ya bao 1--1.
Rais Samia ashiriki Mkutano Maalum wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa
Afrika (AU) kuhusu Afya, Accra nchini Ghana
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan, akiwasili katika ukumbi wa mikutano, jijini Accra, Ghana kwa ajili
ya kushi...
2 hours ago
0 Comments