Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman, leo tarehe 26 Januari, 2022 amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam.
POLISI KATA WATAKIWA KUSHIRIKIANA NA VIKUNDI VYA ULINZI KATIKA MAENEO YAO.
-
Polisi kata na watendaji wa kata zilizopo Wilayani Mpanda Mkoani Katavi
wametakiwa kuratibu na kufanya doria za kutosha kwa kushirikiana na vikundi
vya u...
1 hour ago
0 Comments