Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akisalimiana na Uongozi wa Kijiji cha Watoto SOS Mombasa Zanzibar alipowasili katika Kijiji hicho kwa ajili ya kuwatembelea Watoto na kutoa Mkono wa Eid. kwa Watoto hao hapo jana Mei 14, 2021.
POLISI NA MADEREVA WA BAJAJI WASHIRIKI KUTOA FARAJA KWA WENYE MAHITAJI
WILAYANI ILEJE.
-
Kikosi cha usalama barabarani Wilaya ya Ileje kimeungana na wasafirishaji
wa abiria kwa kutumia bajaji kuwafariji na kuwasaidia wagonjwa waliolazwa
katik...
6 hours ago
0 Comments