Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Sheikh Ali Fakii Abdulla baada ya kumalizika kwa hutba ya Ijumaa iliofanyika katika Masjid Raudha Daraja Bovu Jimbo la Shauri Moyo Jijini Zanzibar.
POLISI NA MADEREVA WA BAJAJI WASHIRIKI KUTOA FARAJA KWA WENYE MAHITAJI
WILAYANI ILEJE.
-
Kikosi cha usalama barabarani Wilaya ya Ileje kimeungana na wasafirishaji
wa abiria kwa kutumia bajaji kuwafariji na kuwasaidia wagonjwa waliolazwa
katik...
5 hours ago
0 Comments