Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akizungumza na Ujumbe wa Shirika la Refocus Afrika uliofika Ikulu Jijini Zanzibar leo ambapo mazungumzo hayo yamegusia zaidi kuhusu masuala mbali mbali ya michezo,Filamu na Muziki hapa Zanzibar.[Picha na Ikulu].18/11/2020.
POLISI NA MADEREVA WA BAJAJI WASHIRIKI KUTOA FARAJA KWA WENYE MAHITAJI
WILAYANI ILEJE.
-
Kikosi cha usalama barabarani Wilaya ya Ileje kimeungana na wasafirishaji
wa abiria kwa kutumia bajaji kuwafariji na kuwasaidia wagonjwa waliolazwa
katik...
5 hours ago
0 Comments