Boti za Azam Marine na Zanzibar Faste Ferry wakiwa katika Safari zao za kawaida kati ya Dar es Salaam na Zanzibar zinavyooneka wakiwa katika safari hiyo wakitokea Jijini Da es Salaam wakipita katika eneo la chumbwe wakielekea katika bandari ya malindi kumalizia safari yao na abiria waliotoka nao Dar.
POLISI NA MADEREVA WA BAJAJI WASHIRIKI KUTOA FARAJA KWA WENYE MAHITAJI
WILAYANI ILEJE.
-
Kikosi cha usalama barabarani Wilaya ya Ileje kimeungana na wasafirishaji
wa abiria kwa kutumia bajaji kuwafariji na kuwasaidia wagonjwa waliolazwa
katik...
26 minutes ago
0 Comments