Muonekano ya Jengo jipya la Maduka ya Kisasa la Sheikh Thabit Kombo Kisonge Michezani Jijini Zanzibar lililofunguliwa rasmin na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein \, baada ya kumalizika kwa ujenzi wake na kukabidhiwa kwa ZSSF msimamizi wa ujenzi huo hadi kukamilika kwake.
POLISI NA MADEREVA WA BAJAJI WASHIRIKI KUTOA FARAJA KWA WENYE MAHITAJI
WILAYANI ILEJE.
-
Kikosi cha usalama barabarani Wilaya ya Ileje kimeungana na wasafirishaji
wa abiria kwa kutumia bajaji kuwafariji na kuwasaidia wagonjwa waliolazwa
katik...
6 hours ago
0 Comments