Meli ya Mizigo ikielekea katika Bandari Kuu ya Zanzibar kwa ajili ya kushusha mizigo na kupakia. kama inavyoonekana pichani ikiwa katika bahari ya Zanzibar .
KAMATI YA KITAIFA YA USIMAMIZI WA MAAFA YAIDHINISHA MPANGO WA DHARURA WA
TAIFA WA KUKABILIANA NA MADHARA YA EL NIÑO
-
Na.Mwandishi wetu - Dar es Salaam
Kamati ya Kitaifa ya Wataalamu ya Usimamizi wa Maafa imeidhinisha Mpango wa
Taifa wa Dharura wa Kukabiliana na Madhara ya...
8 hours ago
0 Comments