Mchezaji wa Timu ya African Magic akidaka mpira huku mchezaji wa Timu ya Polisi akijaribu kumzuiya wakati wa mchezo wa Kombe la Wooter Africa mchezo uliofanyika uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar Timu ya Polisi imeshinda kwavikapu 64 -49.
Tanzania mgeni rasmi Maonesho ya Ufugaji Nyuki Afrika nchini Algeria
-
Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Mhe Mobhare Matinyi, akizungumza na
vyombo vya habari vya Algeria wakati akitangaza kuwa Serikali ya Jamhuri ya
Muungan...
5 hours ago
0 Comments