Meli ya Zan Fist Ferres ikiwa katika bandari ya Zanzibar ikishusha abiria na mizigo na kupakia Abiria ya kwenda Pemba katika Bandari ya Malindi Visiwani Zanzibar kama ilivyokutwa na Camera yetu.
POLISI KATA WATAKIWA KUSHIRIKIANA NA VIKUNDI VYA ULINZI KATIKA MAENEO YAO.
-
Polisi kata na watendaji wa kata zilizopo Wilayani Mpanda Mkoani Katavi
wametakiwa kuratibu na kufanya doria za kutosha kwa kushirikiana na vikundi
vya u...
1 hour ago
0 Comments