Mchezaji wa Timu ya Beitras akijianda kurusha mpira golini kwa Timu ya Polisi wakati wa mchezo wa Michuano ya Kombe la Karume Cup mchezo uliofanyika Uwanja wa Mao Zedong Zanzibar Timu ya Polisi imeshinda mchezo huo .
NBAA YAENDELEA KUTOA ELIMU YA TAALUMA YA UHASIBU KWA WANAFUNZI WA CHUO
KIKUU CHA MZUMBE
-
Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) imeendelea
kutoa elimu na mafunzo kwa vyuo vikuu pamoja na shule za sekondari ikiwa na ...
1 hour ago
0 Comments