Wasanii wa Bandi ya Wamwidura kutola Mkoani Mbeya wakitowa burudani katika Jukwaa la Sauti za Busara Zanzibar katika viwanja vya Mambo Club Ngome Kongwe Forodhani Zanzibar, wakati wa Onesho hilo la Sauti za Busara linalofanyika katika viwanja vya Bustani ya Forodhani na Ukumbi wa Mambo Club Ngome Kongwe Zanzibar.
Tanzania mgeni rasmi Maonesho ya Ufugaji Nyuki Afrika nchini Algeria
-
Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Mhe Mobhare Matinyi, akizungumza na
vyombo vya habari vya Algeria wakati akitangaza kuwa Serikali ya Jamhuri ya
Muungan...
5 hours ago
0 Comments