Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Mohammed Aboud Mohammed akiwa na Viongozi wa Wizara ya Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar, kushoto Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Tanzania Bara Mhe Mhe. Japhet Hasunga na kulia Katibu Mkuu Wizara ya Habari Utalii na Mambo ya Kale Bi. Khadija Bakari na Waziri wa Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar Mhe. Mahmoud Thabit Kombo wakielekea katika mabanda ya maonesho ya Vyakula na Vitu vya Urithi wakati wa Uzinduzi wa Tamasha hilo katika viwanja vya maisara leo.
Serikali Yatoa Rai kwa NIT Kuzalisha Wataalamu wa Usafiri wa Kimataifa
-
Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile, Julai 24, akipata maelezo
wakati alipotembelea chuo cha Usafirishaji Tanzania (NIT) jijini Dar es
Salaam leo J...
2 hours ago
0 Comments