Waziri wa Biashara na Viwanda Zanzibar, Mhe.Amina Salum Ali akitembelea maonesho ya Waganga wa Tiba Asilia Zanzibar wakati wa sherehe za Maadhimisho ya 16 ya Tiba Asilia Barani Afrika yaliofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Zanzibar.
Tanzania mgeni rasmi Maonesho ya Ufugaji Nyuki Afrika nchini Algeria
-
Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Mhe Mobhare Matinyi, akizungumza na
vyombo vya habari vya Algeria wakati akitangaza kuwa Serikali ya Jamhuri ya
Muungan...
11 hours ago




0 Comments