BIDHAA za Tungule zimeonekana kushamiri kwa kasi katika kipindi hiki Kisiwani Pemba. Pichani wananchi wakivuna tungule katika moja ya mashamba yao, huko Mjini Ole Wilaya ya Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
VIONGOZI WA UMMA WATAKIWA KUBADILI MTINDO WA KAZI ILI KUFIKIA DIRA 2050*
-
SERIKALI imesema hakuna tena biashara ya kawaida kwa Taasisi, Mashirika ya
Umma na Wakala za Serikali. Waziri Prof. Kitila Mkumbo amesema viongozi
lazim...
2 hours ago
0 Comments