Muonekano wa Bustani ya Forodhani wakati wa usiku kwa Wageni na Wananchi wa Zanzibar wanaofika katika bustani hizo kwa kupata viburudisho vya Aina mbalimbali vynye asili ya Zanzibar na asili ya bahari.
POLISI NA MADEREVA WA BAJAJI WASHIRIKI KUTOA FARAJA KWA WENYE MAHITAJI
WILAYANI ILEJE.
-
Kikosi cha usalama barabarani Wilaya ya Ileje kimeungana na wasafirishaji
wa abiria kwa kutumia bajaji kuwafariji na kuwasaidia wagonjwa waliolazwa
katik...
1 hour ago
0 Comments