Waziri wa Michezo Vijana Utamaduni na Sanaa Zanzibar Mhe. Balozi Ali Abeid Karume akiwasilisha Hutuba ya Bajeti ya Wizara yake kwa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Chukwani Zanzibar katika Mkutano wa Kumi Baraza la Tisa la Wawakilishi Zanzibar, kwa ajili kuchangiwa na kupitisha Matumizi ya Wizara yake kwa mwaka wa Fedha 2018/2019.
Tanzania mgeni rasmi Maonesho ya Ufugaji Nyuki Afrika nchini Algeria
-
Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Mhe Mobhare Matinyi, akizungumza na
vyombo vya habari vya Algeria wakati akitangaza kuwa Serikali ya Jamhuri ya
Muungan...
11 hours ago
0 Comments