MLINDA mlango wa Timu ya New Star Jafar Said, akiruka juu kuokoa mpira katika eneo lake la hatari, wakati mchezo waligi kuu ya Zanzibar uliopigwa saa nane za mchana, matokeo ya mchezo huo ni New Star kushinda goli 1-0.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
MCHEZAJI wa Timu ya Kizimbani Abdullnasir Ali akichuwana na mchezaji wa Timu ya New Star, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar, mchezo uliomalizika kwa New Star kushinda goli 1-
0.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
MCHEZAJI wa Timu ya Kizimbani Ali Abrahman Shehe akielekea katika lango la Timu ya New Star ili kuisawazishia timu yake, wakati wa mchezo wa ligi kuu ya Zanzibar uliopigwa uwanja wa
gombani saa nane za mchana, matokeo New Star kushida goli 1- 0.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
DKT. ABBASI AKAGUA MIRADI YA UTALII PORI LA AKIBA LA PANDE, ATOA MAAGIZO YA
KUKAMILIKA KABLA YA AFCON 2027
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi, leo Julai
23, 2026, ametembelea Pori la Akiba la Pande jijini Dar es Salaam na
kukagua ...
13 hours ago
0 Comments