MASHABIKI wa Soka Kisiwani Pemba wakishuhudia
pambano la Pemba, Kombaini dhidi ya mashujaa wa Zanzibar katika mashindano ya
Cahlenj, Timu ya Zanzibar Heroes mchezo uliopigwa katika uwanja wa michezo
Gombani na kumalizika kwa 0-0.(PICHA NA
ABDI SULEIMAN, PEMBA)
Rais Samia ashiriki Mkutano Maalum wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa
Afrika (AU) kuhusu Afya, Accra nchini Ghana
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan, akiwasili katika ukumbi wa mikutano, jijini Accra, Ghana kwa ajili
ya kushi...
38 minutes ago
0 Comments