MLANGO wa kuingia uwanja wa Gombani upande wa ZFA ukiwa umevunjwa kwa kutolewa sehemu ya chini na mashabiki wanaodaiwa kuwa wa Timu ya Shaba, baada ya mchezo wao na Wawi Star kumalizika kwa Shaba kufungwa goli 1-0.(PICHA NA MWANDISHI WETU ,PEMBA)
NBAA YAENDELEA KUTOA ELIMU YA TAALUMA YA UHASIBU KWA WANAFUNZI WA CHUO
KIKUU CHA MZUMBE
-
Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) imeendelea
kutoa elimu na mafunzo kwa vyuo vikuu pamoja na shule za sekondari ikiwa na ...
1 hour ago


0 Comments